Awali ilitegemewa kwamba pesa hiyo ingetolewa kabla ya wanafunzi wote kufunga chuo, Mpaka kufikia juzi waziri NDALICHAKO alilitolea ufafanuzi suala hili na kusisitiza pesa haiwezi kutolewa mpaka pale zoezi la uhakiki litakapokamilika.
Wanachuo wameiomba ofisi iwaruhusu kwenda kufanyia field maeneo ambapo kila mmoja anatokea., Hata hivyo ofisi imetupilia mbali maombi hayo na kusisitiza hakuna ratiba itakayo badilika kuwa tofauti na ilivyopangwa awali.
Wanachuo wamelazimika kukutana asubuhi hii ili kushinikiza ofisi iwape ruhusa ya kwenda kufanyia field makwao.
Tautazidi kukujulisha kwa chochote kitakachokuwa kinaendelea.
JONATHAN MOSHI
@ONLINE NOTICEBOARD
Wednesday, July 20, 2016
Friday, July 15, 2016
Monday, July 11, 2016
DAKA MZIGO KI-SMART.
DAKA NA BEI YA KI-SMART.
KUNA BIDHAA KIBAO KWENYE SOKO, KAMA VILE,
LAPTOPS,DRESSING TABLE,JAGI LA UMEME, VITANDA,MEZA,SOFA, JIKO LA GESI, BUFA NA BIDHAA NYINGINE KEDEKEDE,..........
UKIFIKA BEI MZIGO UNAKUKUTA ULIPO.
PIGA 0765585479 .
KISHA DAKA.
Wednesday, July 6, 2016
EXCLUSIVE: Wema Sepetu kaongea kuhusu Diamond kumpost Instagram jana

July 5, 2016 mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz
aliingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kupost kwenye Instagram
kuhusu watu kujitokeza kwa wingi kwenye show ambayo imeandaliwa na
mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu pamoja na Christian Bella na Idris.
AyoTV ilimpata Wema na ameyasema haya >>>‘Watu
wamekuwa wakiitumia hii beef yetu kujipatia followers hasa kwenye
mitandao yao kwasababu mtu anaweza akatokea sehemu yoyote na kuanza
kunitukana mimi au kumtukana Naseeb akajipatia followers wa kutosha,
kuna muda mimi nilikuwa naogopa kuimba wimbo wa Diamond unapopigwa
naogopa hata kucheza’
‘Nikisikia
nyimbo za Naseeb siwezi kuimba inanibidi nikaze lakini mwisho wa siku
najikomoa mimi mwenyewe nikikaa kwenye gari nitaimba kama utakuwa
unakumbuka nilivyoimba mara ya kwanza watu wakashangaa wakawa
wanajiuliza maswali mengi sana, kwasasa hatuko kwenye mapenzi lakini
tunasaidiana kazi kuonesha uzalendo’
KUHUSU TAARIFA ZA AJALI YA BASI LA NGORIKA

Kumekuwapo na picha ambazo zimesambaa
kuhusu ajali inayodaiwa kuhusisha basi la kampuni ya Ngorika na lingine
la Ratco kwamba yamegongana uso kwa uso. Millardayo.com imempata kamanda wa polisi mkoa wa Pwani, Bonaventure Mushongi na ameeleza haya……
>>> ‘mpaka
sasa hivi kulingana na mimi nilivyofuatilia bado sijaona, tumejaribu
kufuatilia kila hatua, hawa waliotuma wanaweza wakatusaidia lakini mpaka
sasa hivi kulingana na taarifa zangu za barabarani sina taarifa hizo
mpaka sasa hivi’
>>>’hali
hii inatisha watu, unajua siku mbili tatu kumekuwa na ajali za kutisha
hivyo unapoongelea vitu vingine unasababisha taharuki, ningeliomba
tusitumie vibaya mitandao hii kwa sababu sheria ziko wazi’
Subscribe to:
Posts (Atom)