Kwa mujibu wa wafanyakazi wa duka hilo mtu huyo aliejifanya afisa
kutoka mamlaka ya mapato TRA sio mara ya kwanza kufika eneo hilo kwani
siku moja kabla alifika akiwa na wenzake wawili na mmoja
waliyemtambulisha kuwa ni mwandishi wa habari na kufanikiwa kutapeli
kiasi cha shilingi milioni tano.
Mtuhumiwa huyo sasa amekamatwa na kufikishwa kituo cha polisi Tabata Segerea kwa hatua zaidi za Kisheria.
No comments:
Post a Comment
Comment here