Wednesday, March 23, 2016

JINSI YOUTUBE ILIVYOMCHOMOA DAVIDO KITANZINI

Double 2014 MTV Africa Music Award winner Davido isn’t just taking ...

Polisi nchini Marekani hivi karibuni walivamia nyumba ya star wa Nigeria, Davido, iliyopo mjini Atlanta Georgia.

Kwa mujibu wa Africa facts zone, Polisi ilichukua uamuzi baada ya kuona ‘bata’ analokula Davido katika makazi hayo bila kufahamu hasa kipato chake kinatokana na nini?


Kilichomsaidia staa huyo asikamatwe na mapolisi hao ni baada ya kuwaeleza kuwa yeye ni msanii mkubwa wa muziki Afrika, na kuwaonyesha channel yake ya muziki ya Youtube ambayo inatembelewa na zaidi ya watazamaji milioni 100.

 

 

No comments:

Post a Comment

Comment here