Tuesday, April 19, 2016

IJUMAA AU JUMATATU IJAYO,KITATOKEA HIKI MMU

              JIPATIE UNGA SAFI WA DONA KUTOKA PAM FOOD PROCESSING
                 UNAPATIKANA MADUKANI KOTE,NUNUA UONE TOFAUTI








Kuanzia siku ya ijumaa ya wiki hii au jumatatu ya wiki ijayo,yale mashindano yaliyokuwa yakisubiliwa kwa hamu MMU (interclasses competition) yataanza kutimua vumbi.
Kwa mujibu wa waziri mwenye dhamana hiyo,mheshimiwa chite amesema,kwa upande wa mpira wa miguu kutakuwa na jumla ya timu 7,ambazo zipo katika  makundi ya A na B.
Kundi A litazikutanisha timu za BED 3,DED 1,BBA na TOWN CAMPUS ambapo kundi B litakuwa na timu za DED 2,BED 1 na BED 2.Michezo mingine itakayokuwepo ni pamoja na netball na volleyball na zawadi zimeboreshwa zaidi.

Ahsante kwa kuisoma habari hii ndugu yangu,Unaweza kunifollow instagram/facebook kwa jina la adamu kihomile kwa dondoo nyingi zaidi.

No comments:

Post a Comment

Comment here