Ni miongoni pia mwa Wasanii waliopata mialiko ya kutosha kwenye show mbalimbali za Dar es salaam na nje ya Dar, kazi na jitihada zake zimeanza kumnyanyua kutoka kwenye hatua moja kwenda nyingine, na yeye anakua miongoni mwa Wasanii wenye magari yao binafsi.
Japokuwa hakupost picha zaidi ya moja ambayo inalionyesha gari hilo kwa ndani, Baraka aliandika kwenye Instagram yake maneno yafuatayo >>> ‘Asante Mungu hiki kidogo na asante pia mashabiki kwa nguvu yenu na kuendelea kunisupport mziki wangu pamoja na media zote Tanzania‘
No comments:
Post a Comment
Comment here