Monday, May 2, 2016

KIKOSI KAMILI CHA BED 3 HIKI HAPA

Leo katika mashindano ya chuo kikuu cha mont meru kutakuwa na mechi kali ya mpira wa miguu,ambayo itawakutanisha miamba wa chuo hicho,BED 3 pamoja na timu kutoka BBA.

picha ya hapo juu inaonyesha mazungumzo ya kikundi cha watsapu cha chuo ambapo ilionekana baada ya nahodha orodha ya majina ya wachezaji watakaovaana na BBA leo,ndipo kiungo mshambuliaji wa timu hiyo,Tange alijitoa katika kikundi hicho.

Wadau mbalimbali wa soka wamekitafsiri kitendo ni kama amesusa na huenda asionekane uwanjani akisakata kabumbu.
hapa nimekusogezea kikosi cha BED 3 ya leo ndugu yangu kwa mujibu wa nahodha wa BED3,JAMES MWANDU.


  1. frank/blastus
  2. leonard
  3. sam/malisel
  4. chuji
  5. laizer
  6. davido
  7. hussein
  8. momo
  9. mboi
  10. flav
  11. jiga  na katika benchi la wachezaji wa akiba watakuwepo wafuatao
  12. chite
  13. alex
  14. tange
  15. maliseli
  16. jonas                 #TUKUTANE UWANJANI.

No comments:

Post a Comment

Comment here