Thursday, May 5, 2016

MOMO AWAFANYA VIBAYA WAAJILIWA WA MAGUFULI


katika hatua ya makundi ya ligi ya chuo cha MMU tumeshuhudia wakongwe wa chuo hiko kuondoka na alama 3 muhimu dhidi ya DED 1 ambapo goli pekee la kiungo wa kati wa timu hiyo MOMO,lilitosha kabisa kuisambalatisha ngome ya DED 1.

Na katika mchezo mwingine wa mpira wa meza,DED 2 waliwashinda BED 1 kwa set 2.

No comments:

Post a Comment

Comment here