Ahmed Hossam ‘Mido’ enzi zake akicheza soka
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Tottenham Hotspurs ya Uingereza na timu ya taifa ya Misri Ahmed Hossam ‘Mido’ ambaye sasa hivi ni mchambuzi wa masuala ya soka beIN Sports alikuwa ni moja kati ya watu wasiotarajia kuona hilo linatokea na kuhaidi kuwa kama Leicester watatwaa taji la EPL atanyoa nywele zake ambazo zimekuwa kama ndio utambulisho wake.
No comments:
Post a Comment
Comment here