JONATHAN MOSHI

@ONLINE NOTICEBOARD

MENU

  • HOME
  • SIASA
  • HABARI ZOTE
    • HABARI MPYA
    • MICHEZO
    • HABARI MPYA
    • MICHEZO
  • HUDUMA ZETU
  • SARMS.MMU
  • CONTACT US
  • Thursday, June 2, 2016

    Ang'atwa uume na nyoka Thailand




    Raia mmoja wa Thailand anaendelea kuuuguza jeraha katika hospitali moja baada ya nyoka aina ya chatu kutokea ndani ya choo na kumng'ata uume wake.
    Attaporn Boonmakchuay,ambaye alipoteza damu nyingi amesema kuwa nyoka huyo ilikuwa ikimvuta baada ya yeye na mkewe kujaribu kuipiga.
    Madaktari wanasema kuwa Bw Attaporn ambaye alipoteza damu nyingi anaendelea vyema na matibabu.

    Wafanyikazi walilazimka kukiharibu choo hicho.Baadaye nyoka huyo aliachiliwa na kuingia msituni.
    Kisa hucho kilitokea wakati ambapo Attaporn mwenye umri wa miaka 38 alielekea katika choo chake nyumbani kwake huko Chachoengsao,mashariki mwa Bangkok kabla ya kwenda kazini siku ya Jumatano.
    Wakati alipokuwa akitumia choo hicho alihisi uchungu mkali.

    ''Nilihisi kama ambaye uume wangu ulikuwa umekatwa,Nyoka huyo alikuwa akinivuta kwa kutumia nguvu nyingi'',alisema.
    Posted by Adamu Kihomile at 7:47:00 AM
    Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

    No comments:

    Post a Comment

    Comment here

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    be on time

    Blogger TemplatesMy Blogger TricksAll Blogger Tricks

    omi cheerleader felix jaehn remix - [MP3HIP.com]

    click here to download OR play online

    Contributors

    • JIMO COMPANY LTD
    • Unknown

    Total Pageviews

    BLOGS RAFIKI

    • MILLARD AYO
    • DJ CHOKA
    • DJ FETTY
    • ISSA MICHUZI
    • DINA MARIOS
    • mpekuzi/DOMO LANGU
    • umbea mtupu
    • raha tupu
    • SPINOTECH~Learn to explore the world

    Tanzanian flag

    Tanzanian flag

    Search This Blog

    Translate

    Photos of Me

    Photos of Me
    That is how i live

    Blog Archive

    Visitors from 22 April 2016

    Flag Counter
    Back to Top
    Design By Jonathan Moshi | Phone number +255 753 364 953 | Email: moshijonathan@gmail.com | . Travel theme. Powered by Blogger.