Saturday, January 23, 2016

ALIKIBA:SIJAWAHI KUTONGOZA MWANAMKE

Mahusiano yanasiri kubwa na kila mmoja anajua jinsi gani alivyoingia katika mahusiano ya kimapenzi, kwa upande wake Ben Paul Hit Maker wa Ningefanyaje aliwahi kufall In Love na msichana ambaye hakumtaja jina katika mazingira ambayo hakuyategemea ila ukaribu ndio uliwapelekea kuwa pamoja, mpaka akamua kuachia wimbo huo wa Ninefanyaje.

 

Hivi ndivo msanii mwenye sauti nyororo nchini Alikba ambaye inasemekana anatoka kimapenzi na mwanadada nyota kwenye masuala ya mitindo, muziki na filamu maarufu kama Jokate walivyo ingia kwenye penzi zito, baada yakuwa marafiki.

 

Akizungumza katika moja ya mahojiana yake Alikiba ameeleza kuwa hajawahi kutongoza mwanamke, hujikuta tu wanaingia kwenye mahusiano baada ya kujenga urafiki“Haya mambo ya kutongoza mimi sijatongozaga,” alisema . “Mimi nakwambia maisha yangu yote sijawahi kutongoza. Tunakuwa friendly hivyo vitu vinatokea halafu basi, tayari wapenzi.”

No comments:

Post a Comment

Comment here