Monday, June 6, 2016

BOMBA LA BIA NCHINI UBELGIJI

Xavier Vanneste alipata wazo la kujenga bomba litakalosafirisha bia miaka minne iliyopita, mwanzoni lilionekana wazo lisiloeleweka, lakini baadae likakubalika na takribani wanywaji 400 wakajitokeza kuchangia mradi huo. 
34E8DD8700000578-3625489-image-a-6_1465072556714
Xavier Vanneste 
mmoja wa watu waliochangia mradi huo ambaye ni mmiliki wa mgahawa, Philippe Le Loup anasema……….>>>inatakiwa uwe kama una kichaa fulani kidogo hivi kama bia yenyewe kufanya mradi kama huu, mimi nilikuwa na pesa kwa ajili hiyo kwa hiyo nikapenda nikatoa fedha’
Katika mradi huu wanywaji walichangisha dola milioni 3  hivyo wameahidiwa kupata bia moja kila siku bure maisha yao yote.
34E8DEB700000578-3625489-image-a-5_1465072548690
Xavier Vanneste amekuja na wazo la kutengeneza bomba kwa ajili ya kusafirisha bia kwa sababu hakutaka kutumia malori kwa kuwa yangeharibu mji, bomba limetoka ilipo kampuni ya bia kuelekea nje ya mji kama km 2.
34E8DC2B00000578-3625489-image-a-4_1465072519292
Malori yaliyokuwa yakitumika kabla

No comments:

Post a Comment

Comment here