Katika jamii yoyote ile katika maisha ya wanadamu,aidha
shuleni,maofisini,nyumba za ibada na hata vyuoni,suala la wizi limekuwa
limeshamiri kwa kiasi kikubwa sana,ukienda vyuo vikubwa kama UDSM,UDOM na
vinginevyo,suala hili limekuwa ni gumzo na ni changamoto kubwa,hivyo basi,leo
nimeamua kukuletea orodha ya wanafunzi ambao mkasa wa wizi hapa chuoni MMU
umeshawatokea:
·
Abdallah
kambenga
ni mwanafunzi mcheshi sana
kimuonekano,anapenda sana kwenda na muda kwenye mambo yake,lakini hayo yote
hayakuweza kuzuia kuibiwa kopyuta mpakato “laptop” zake mbili.
Cha ajabu zaidi,moja ya kompyuta yake
wakati anaibiwa,mwizi aliiba hiyo laptop alafu siku ya pili yake akaja
kumalizia chaja yake,hakuzipata.
·
Elimarik
Kambuga
Takribani wiki nzima ndio imekuwa kama
stori ya MMU,na wengi waliipata,kambuga ni mtu maarufu sana lakini mwisho wa
siku ndio hivyo tena aliibiwa laptop yake,aliipata.
·
Chite
Ukiwa ni mtu wa karibu na kijana huyu,ni
lazima utapata fursa ya kuona alama ya kovu,si nduwi ile,ila ni moja ya
majeraha aliyoyapata katika zile purukushani za hapa na pale wakati wa
uvamizi wa majambazi katika hosteli(jina
limehifadhiwa) ambayo alikuwa anaishi,vitu vingi vilichukuliwa usiku ule,watu
kama lymo walipata madhara hayo.
·
Jumanne
Anasoma shahada ya elimu katika masomo ya
uchumi,aliibiwa wakati anatoka kwake ili aende msikitini,kwa bahati mbaya
alisahau kufunga mlango hivyo vitu kama laptop na smartphone yake
vilichukuliwa,hajavipata.
JE,UNAMFAHAMU MHANGA
MWINGINE WA WIZI HAYUPO HAPA,COMMENT HAPA CHINI TAFADHALI.
No comments:
Post a Comment
Comment here