
Saturday, January 23, 2016
BAADA YA DIAMOND KUJIITA SIMBA, HUYU HAPA MWINGINE AIBUKA

Baada ya DIAMOND PLATNUMZ
Kujiita Simba yaliibuka mengi kuhusu suala hilo nakufikia hatua kubwa ya
kuzua mjadala ya juu ni nani mmiliki wa jina hilo? kati ya Diamond
Platnumz, Mr Blue na Afande Sele.
Sekeseke hilo la jina la Simba limehamia
nchini Kenya baada ya msanii mahiri nchini humo kuanza kujiita jina
hilo, kupitia ukurasa wake wa Instagram Willy Paul ameweka picha na
kuandika neno Simba, jambo lililozua mjadala wadau mbalimbali wa muziki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Comment here