Friday, April 15, 2016

NANI MBABE KATI YA ALIKIBA NA MSANII HUYU?

Watu wengi walikuwa wanasema na kuuliza nani alie mfunika mwenzake katika Ngoma ya Nagharamia haswa kwenye upande wa sauti.

Aby Dady ambaye ni Prodyuza wa Nyimbo hiyo alimaliza utata baada ya kusema kila mmoja alifanya kwa ujunzi  na ubunifu wake na kuongezea kuwa Ali Kiba na Christian Bella kila mmoja ana asilimia 50% kwa 50%.

 image-26-06-15-06-58-5

Kila mmoja alikuwa na sehemu yake ukisikilza Sauti ya Ali Kiba na ukisikiliza Sauti ya Bella unaweza kuona jinsi gani walivyofanya vizuri kwa kila mmoja na sehemu yake na umuhimu wake katika ile nyimbo. Aliongeza Prodyuza Abby Daddy

 


No comments:

Post a Comment

Comment here